2 Corinthians 4:8-10

8 aTwataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa; 9 btwateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi. 10 cSiku zote twachukua katika mwili kufa kwake Isa ili kwamba uzima wa Isa uweze kudhihirika katika miili yetu.
Copyright information for SwhKC